Recent content by plainpaper

  1. plainpaper

    Ujumbe huu naomba uende moja kwa moja kwa Kangi Lugola na Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza

    HIzo ndio tuhuma zake hasa hiyo uliyotaja ya mwisho
  2. plainpaper

    Ujumbe huu naomba uende moja kwa moja kwa Kangi Lugola na Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza

    Hajanifanyia mimi, mimi ni reporter, m niko dsm ujumbe huu nimepenyezewa na raia mmoja wa huko MZA
  3. plainpaper

    Ujumbe huu naomba uende moja kwa moja kwa Kangi Lugola na Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza

    Naanzaje mkuu, mimi nipo DSM hii story nimepenyezewa na raia mwema mmoja alieko huko pori.
  4. plainpaper

    Ujumbe huu naomba uende moja kwa moja kwa Kangi Lugola na Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza

    Ujumbe huu naomba uende moja kwa moja kwa Kangi Lugola na Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza. Nduguzanguni kwanza nawapongezeni kwa kazi nzuri mnayoifanya kwa kuhakikisha raia na mali zao wanakuwa na salama muda wote. Pamoja na sifa zote hizo lakini siwezi kunyamaza kwa kuona unyama unaondelea...
  5. plainpaper

    Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

    Kuna mtoto mdg ana miezi tisa. Ninavumilia afikishe miaka 2 niliamushe dude lakn kwa muda naandaa replacement kimya kimya
  6. plainpaper

    Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

    Nimegungua napoteza muda kwa mtu asiekuwa na maana.
  7. plainpaper

    Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

    Ninaendelea nayo mpaka sasa. Sina amani ninaishi nae tuna watoto lakini nimefikiria kutunduka daluga
Back
Top Bottom