Je Vifaa vinavyotumika huko kwa sasa ambavyo wewe unavitumia huku kwetu hivyo vimeshafika? Kuna uwezekano wa kutofautiana kwa technology kati ya huku na huko
Wengine tunajiuliza
1. Magazeti mangapi Tz yanamilikiwa na vyama vya siasa?
2. Radio ngapi zinamilikiwa na vyama vya siasa?
3. TV ngapi Tz zinamilikiwa na vyama vya siasa?
4. Je chombo cha Habar kisichomilikiwa na Chama chochote cha siasa kina uhalali wa kutoa Habar zinazopendelea Chama fulani...
Mambo mengine ni rahisi tu wawakilishi wa vyama vya siasa katika majimbo mbalimbali waende physically wakahesabu vituo vya upigaji kura then wajumlishe watapata hesabu kamili. Na ubishi utaisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.