Recent content by pj lufunya

  1. P

    CHADEMA ukweli mnaujua lakini mnajizima data

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. P

    Msaada: Mawakala wa kuagiza bidhaa za mtandaoni

    Kama nilivyotangulia kusema mimi ni miongoni mwa wasio na uelewa wa namna ya kuagizia bidhaa mtandaoni kama vile Alibaba,Amazon nk Ili kukwepa kukosea namna ya kufanya online shopping naona bora nitumie mawakala wenye uzoefu ili kukwepa upotevu wa pesa Natanguliza shukrani.
  3. P

    Naomba kujua namna ya kufanya malipo ya Games na Applications

    Hapana Hamisi Omary kuna apps za muhimu kuwa nazo ambazo si rahisi kuzi hack mfano poweramp music player na neutron music player hizi ni sawa na mfupa uliyo mshinda fisi Ni bora kununua tu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. P

    Naomba kujua namna ya kufanya malipo ya Games na Applications

    Naomba kujua namna ya kufanya malipo ya Games na Applications mbalimbali katika Google Play Store kwa kutumia Vodacom Mastercard. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. P

    Sioni wa kuvaa viatu vya Dr. Magufuli kwa Miaka 20 ijayo

    Kwa hiyo hata ikibidi wafe kwako haina shida?
  6. P

    Akiitwa mshamba, mnachekelea. Wao wakiitwa wapumbavu, mnanuna

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  7. P

    Makao makuu ACT yahamishiwa Vuga kinyemela?

    Halafu wewe Jamaa umenichekesha kweli kwamba zitto kaona mbalii
  8. P

    maandalizi ya idi

    inafaa kuja ndimu na pilipili kabisa
  9. P

    CHADEMA ikiwezekana kwa hali inayoendelea sasa mjipange upya

    hivi ninyi mnao jiita my web,sumu,utaifa kwanza,na wengine wengi hivi hamuoni aibu,kuwa mnatumika kama toilet paper kisha mnatupwa. hivi mnadhani CCM,ni kampuni kiasi kwamba ikifa mtakufa na njaa? Jamani adui wa MTANZANIA siyo CHADEMA. nahisi kuna siku mtapungukiwa damu kama siku ikaisha bila...
Back
Top Bottom