Kama nilivyotangulia kusema mimi ni miongoni mwa wasio na uelewa wa namna ya kuagizia bidhaa mtandaoni kama vile Alibaba,Amazon nk
Ili kukwepa kukosea namna ya kufanya online shopping naona bora nitumie mawakala wenye uzoefu
ili kukwepa upotevu wa pesa
Natanguliza shukrani.
Hapana Hamisi Omary kuna apps za muhimu kuwa nazo ambazo si rahisi kuzi hack mfano poweramp music player na neutron music player hizi ni sawa na mfupa uliyo mshinda fisi
Ni bora kununua tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua namna ya kufanya malipo ya Games na Applications mbalimbali katika Google Play Store kwa kutumia Vodacom Mastercard.
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi ninyi mnao jiita my web,sumu,utaifa kwanza,na wengine wengi hivi hamuoni aibu,kuwa mnatumika kama toilet paper kisha mnatupwa. hivi mnadhani CCM,ni kampuni kiasi kwamba ikifa mtakufa na njaa? Jamani adui wa MTANZANIA siyo CHADEMA. nahisi kuna siku mtapungukiwa damu kama siku ikaisha bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.