Nakumbuka miaka ya 2016 nikiwa form three miaka hiyo.......
Shule ya boarding senti kunani huko mkoani
Hile shule bana kulikuwa Kuna miratiba ya kusali Mara nne kwa siku yani hadi kanisa linakuzoea jina....
So mzee baba la baba Kuna siku nikaamua kudoji Yan kutokuenda church asubuhi nikaendelea...
MD ni course nzuri Sana for social status and for future exprience.... Hapa maMDs wanaweza kujiendeleza kwa masters, PhDs and even professors .
Soko la ajira Ni Pana Sana unaweza ukaomba sekta za serikali au binafsi kwenye mashirika ya kidini na ya wakimbizi.
Wanahitajika Sana ma
Cardiologist...
Inategemeana one ya 8 ipoje.
Kusomea MD unaitajika uwe na vigezo vifuatavyo Biology na chemia Walau C kupanda juu (C mpaka A) na physics uwe angalau ufaulu wa D (D mpaka A) kwenda juu pia matokeo yako ya form four Katika masomo ya Phyz, chemistry, biology uwe na ufaulu kwanzia C (C mpaka A)...
rafiki yangu,kasoma CBG...kapata 3 ya 13.
Biology E
Chemistry E
Geography C
Course gani itamfaa na ukiangalia soko la ajira lakini yeye anataka akasomee education.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.