Mhh,ila hata kias kina hitajika..mie ni kidume,ila kuna wengine wanazid i see,mtu ana mke na watoto,ila angalia anao watongoza sasa..utacheka,wengine wanajua ni watu wazima wana mabomba makubwa ila hivyo viji sket wanavyo tafuta sasa..hatakama ni uanaume,sio kias hicho,sio kila mtu tu,eti kisa...