Ufisadi gani alioufanya lowassa,
Hivi inawezekana mtoto ndani ya nyumba akafanya jambo bila baba yake kujua kweli.
Aanze kustakiwa baba kwanza, halafu mtoto atafuata kutoa ushahidi.
Atusamehe tu filikunjombe mwaka huu tumedhamiria kwenda ikulu na tunaanzia udiwani,ubunge,na hatimaye urais tutapiga kote kwa Lugola, lembeli hatuangalii huruma yao tumedhamilia kwenda ikulu.
Kama mnaona ni rahisi kwenu maccm, kwa nini mlitaka mmpe sumu? mtaweweseka sana mwaka huu, na kwa taarifa yako ccm wanamuogopa sana slaa kuliko mtu mwingine yeyote yule, jiandaeni kisaikolojia.
Kwani wakati unaomba hukujua kama Serikali haina pesa kwa sasa, vumilieni tu mtapata pesa zenu, ila safari za rais na viongoz zitaendelea kama kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.