Mbowe: Nitagombea tena Ubunge Hai.

Mbowe: Nitagombea tena Ubunge Hai.

2010 alimuachia Slaa na kuahidi atagombea 2015 apambane na mgombea mpya wa ccm naona amejishtukia hana mvuto tena wala sifa ya urais.
 
Mbowe alivyo na tamaa ya madaraka unadhani angeiacha hiyo nafasi ya mgombea urais hivi hivi tu! "This is a war, Period".

Kama mngekuwa mnajali demokrasia ya kweli hadi kufikisha watangazania 39 mngekuwa mnafanya hujuma kwenye BVR!? Mnawatumia wakurugenzi waharibu kwa makusudi! Halafu ni kwanini tu mikoa ya Mbeya, Mwanza na Arusha itakuwaje Dar es Salaam!
 
Hii taarifa ya Mh Mbowe kugombea imepelekea ccm na idara zake kusikitika, kulialia na kusaga meno, dili limebuma!!
 
Ndiyo maana alimuuwa dada yake ili agombee tena yeye.
Invisible....huyu ni moja ya wachafuzi wakuu wa jukwaa hili..... hawajali ban sababu ya kumiliki IDs kibao.... tusaidieni kusafisha hawa wahuni wanaokomenti matusi kwa asilimia 99.99.....
 
Last edited by a moderator:
Invisible....huyu ni moja ya wachafuzi wakuu wa jukwaa hili..... hawajali ban sababu ya kumiliki IDs kibao.... tusaidieni kusafisha hawa wahuni wanaokomenti matusi kwa asilimia 99.99.....

Acha kulia lia kwa modes ,hili ni jukwaa huru.
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana alimuuwa dada yake ili agombee tena yeye.

nakumbusha kuwa sheria yamakosa ya kimtandao tayari imesainiwa, kuwa kuzusha kitu ambacho huna uhakika nacho kwa sheria hiyo ni kosa la jinai, kwani linaweza kukufunga.je hili suala ya kumuua dada yake unaoushahidi wa kutoheleza jamii kuthibitisha hilo?kama huna kwanini uzushe mambo ambayo huna uhakika nayo?huwezi kuwa mshabiki kwa masuala mengine yenye tija kisiasa na katika jamii/sasa ugreat thinkers, kwa misingi hii unatoka wapi?
tafakari na chukua hatua.
 
Back
Top Bottom