Bado kidogo mtavua nguo sokoni yaani wale wahindi mliowasajiri ndiyo mnaona wachezaji bora Sana msimu huu mtanunua Sana mechi mwisho wa siku round ya kwanza nje mnarudi kuimba kibao kata
Ukisikia ujinga ndiyo huo mashabiki wa mikia mmekuwa mashoga wa kificho sasa mnakuja hadharani unafikiri hili uendelee kimataifa lazima utumie uongozi wa kusisiasa katika michezo huo ni ujinga mipira haiendeshwi hivyo jifunze kwa walioendelea hacha kuwa Manara mpira ni kwenye uwanja na siyo mdomoni
Hivi aliewapa jina la mbumbumbu fc aka wazee wa xpel ni nani? Huyu ropo ropo domo bwaku anaongea kitu gani muchukue mchezaji kutoka TP Mazembe 450 million kwa Tuisyenge mmeufyata hacha udaku Chai jaba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.