Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amesema wachezaji Emmanuel Okwi na Clatous Chama walichelewa kujiunga na kambi ya Simba mkoani Morogoro kutokana na sababu maalum na sio kweli kuwa wachezaji hao walifanya mgomo
Akizungumza na waandishi wa habari leo Makao Makuu ya klabu ya Simba yaliyopo mtaa wa Msimbazi, Manara amesema klabu iliwapa ruhusa wachezaji hao kushughulikia masuala yao ya kifamilia na tayari wamesharipoti mkoani Morogoro kujiunga na wenzao
"Hakuna mchezaji aliyegoma kama taarifa zinavyoenezwa huko mitandaoni hivi timu inayocheza klabu bingwa Africa kuna mchezaji anaweza kugoma?", amehoji Manara
"Okwi na Chama walipewa ruhusa maalum na tayari wapo kambini toka jana"
"Sisi kwa sasa tunaweza chukua mchezaji yeyote hata Tp Mazembe sio kama kipindi kile kwa sasa simba ni giant inabeba yeyote"
"Tuna barua zaidi ya 100 za wachezaji mbalimbali wameomba kuchezea Simba msimu ujao tena wengine wametoka vilabu vikubwa hapa Tanzania wanahitaji kucheza hata bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Akizungumza na waandishi wa habari leo Makao Makuu ya klabu ya Simba yaliyopo mtaa wa Msimbazi, Manara amesema klabu iliwapa ruhusa wachezaji hao kushughulikia masuala yao ya kifamilia na tayari wamesharipoti mkoani Morogoro kujiunga na wenzao
"Hakuna mchezaji aliyegoma kama taarifa zinavyoenezwa huko mitandaoni hivi timu inayocheza klabu bingwa Africa kuna mchezaji anaweza kugoma?", amehoji Manara
"Okwi na Chama walipewa ruhusa maalum na tayari wapo kambini toka jana"
"Sisi kwa sasa tunaweza chukua mchezaji yeyote hata Tp Mazembe sio kama kipindi kile kwa sasa simba ni giant inabeba yeyote"
"Tuna barua zaidi ya 100 za wachezaji mbalimbali wameomba kuchezea Simba msimu ujao tena wengine wametoka vilabu vikubwa hapa Tanzania wanahitaji kucheza hata bure
Sent using Jamii Forums mobile app