Habari za wakati huu wadau? Jamani naombeni msaada nimekuwa nikisumbuliwa na miguu sehemu za visigino hasahasa mguu wa kulia.
[emoji117]Inapofika asubuhi nikiamka siwezi kutembea nachechemea kwa dakika kadhaa ndio nakuwa angalau.
[emoji117]Nikikaa kwenye kiti hasa kiti kirefu ambacho...
Na sasa hivi kuna bima feki mzee wangu. Unakuta sticker number moja ipo kwenye sticker zaidi ya tatu halafu kwenye system inasoma mtu mmoja. Utapeli huu upo hasa kwa hawa mawakala wa bima
Habari zenu ndugu?
Husika na heading hapo juu. Natafuta engine ya gari aina ya Toyota Cami ya mwaka 1999/2000 inafanana pia na Daihatsu Terios Kid 1.3cc.
Zingatia mwaka wa gari, na engine ni ile yenye 16Valve Daihatsu.
Kama unayo, napatikana whatsapp 0623256767
Nitumie picha nambie na bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.