Recent content by pipi mti

  1. pipi mti

    TCL smart tv inch 32 inauzwa

    Ikifika 250k nichek Sent using Jamii Forums mobile app
  2. pipi mti

    TV4Sale Used Samsung LED 40 " Television For Sale

    Ikifika 300k nichek Dm Sent using Jamii Forums mobile app
  3. pipi mti

    Moelectro TV 32 inch Tsh 290000

    Dukani inauzwa 280000. Wewe unauza 290000. Kila la kheri mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. pipi mti

    Natafuta sehemu ya bishara ya glocery, bucha, saloon pamoja na video library mkoani Mtwara

    Habari wakuu. Naomba msaada kutoka kwa mtu yeyote ambaye ni mwenyeji wa Mtwara, anayeweza kunisaidia kupata eneo zuri kwaajili ya biashara ya bucha, saloon, glocery pamoja na video library. Nimehamishiwa huku kikazi hivyo nalazimika kuhamishia huku biashara zangu ndogo ndogo nilizokua...
  5. pipi mti

    Clearing and Forwarding service

    Kumbe Clearing Agent ndio Master of the game. Kila la kheri! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. pipi mti

    TV4Sale Tv 32 inch mpya, original na waranty ya kutosha kwa 295,000 tu (umeme wa kawaida na wa sola)

    Kwa 32 inch mnazo brand zipi? Na brand zote bei ni hiyo hiyo 295000? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. pipi mti

    TV Set nzima inauzwa

    Njoo pm tuyajenge kama mzigo bado upo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. pipi mti

    I am looking for a job/internship opportunity

    Alianza Young dee,akaja young killer, akafata young Lunya na leo umeongezeka "Young graduate". Nakutakia Kila la kheri. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. pipi mti

    Acha tabia hii, Haitokusaidia hata kidogo

    Inakera Sana unakuta mtu anakuja na uzi the wa kuuliza feedback juu ya nafasi fulani ambazo zilitangazwa siku za nyuma na yeye aliomba, wakati zilipotoka hakushare humu. Anaomba kimya kimya (kichoyo) alafu tetesi anataka apate humu kwa watu ambao aliwaficha zilipotangazwa. Sent using Jamii...
  10. pipi mti

    Je, Mpanda Katavi panafaa kwa mtu kwenda kuanzia kutafuta maisha?

    Ukifika usisahau kwenda sweet manka , digital,lyamba, kwa malandu, kapilipointi, kwa kisaye,migazini,mwisho wa bajaji na king Paris. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. pipi mti

    Kipi bora kupanda Miti ekari 50 au kuwekeza kwenye hisa?

    Ushauri juu ya kupanda miti inategemea na aina ya miti maana ipo hadi miti ya kimvuli tu. Pia kununua hisa inategemeana na trend ya ukuaji wa kampuni . So, mleta uzi njoo uweke bayana aina ya miti na kampuni unayoitarget. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. pipi mti

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Nahitaji desktop used, aina ya Dell au hp. Hdd iwe 500GB au zaidi. Budget 200,000/= Sent using Jamii Forums mobile app
  13. pipi mti

    Kuitwa kwenye usahili TANESCO.

    Heshima yenu Wakuu. Naomba Aliye na taarifa yoyote (rasmi au tetesi) kuhusu hatma ya zile nafasi za TANESCO zilizotangazwa mwezi uliopita, lakini hadi sasa hakuna chochote kinachoendelea katika tovuti ya utumishi kuhusiana na nafasi zile atujulishe. Nawasilisha.
  14. pipi mti

    Kama wewe sio Freemason basi hujui chochote kuhusu Mungu wala ulimwengu

    Report au tangazo la kumnadi mganga wa jadi?
Back
Top Bottom