Recent content by PINC

  1. PINC

    CAG anapaswa kujiuzulu kwa kukiuka utaratibu

    Mmeanza kujitetea wale mnaokula kodi za wananchi kwa ujanja ujanja. Utakuwa MATAGA wewe sio bure,lazima tuwafanyie uchunguzi.
  2. PINC

    Zile shuhuda kwenye maombezi ya Manabii

    Nireteeni gwajima 😀😀
  3. PINC

    Tathimini ya Safari kutoka Njombe kwenda Mbeya(231km) kwa kutumia pikipiki

    Du! Pole sana,unatumia usafiri wa pkpk changamoto kubwa ni upepo na kupishana na magari. Mshukuru Mungu kama ulifika salama
  4. PINC

    Bei ya Gesi yapaa ghafla

    Chawa saiv wanajifanya kufuta matongo tongo,eti walikuwa hawaoni wala hawaskii 😀😀
  5. PINC

    Je, wajua? Kifaa Tiba cha kusaidia moyo 'Pacemaker' kinaweza kudukuliwa?

    'Jikinge kwa kufuata masharti ya wataalamunya wa afya',ikiwa ni pamoja na kuepuka mikusanyiko.
  6. PINC

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Huyo rasta mjinga sana,alichanganya bangi na chumvi. Mungu ameshamsamehe.
  7. PINC

    Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

    😀😀 Wabongo bana!
  8. PINC

    Nimeota Ndoto najiuliza ilikuwa inamaanisha nini?

    Jiandae kuwa makamu wa raisi.
Back
Top Bottom