DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,586
- 1,709
Wewe unajua kuliko mabeho na Mama Samia? Kenge weweMajungu tu haya hamna mtu anaye weza kuiba kijinga kiasi hiki. Mwisho wa siku lazima angetakiwa atoe maelezo ya jinsi fedha zilivyo tumika.
Wewe unajua kuliko mabeho na Mama Samia? Kenge weweMajungu tu haya hamna mtu anaye weza kuiba kijinga kiasi hiki. Mwisho wa siku lazima angetakiwa atoe maelezo ya jinsi fedha zilivyo tumika.
Era ya kutishana ya Magufuli sasa hivi ipo 6 metres deep kule Chato.Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.
Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.
Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.
Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.
Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.
Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Relax,huo ni ujuaji.kenge wewe.Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.
Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.
Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.
Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.
Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.
Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Hizi ndio zilikua akiri za mwendazakeHizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.
Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.
Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.
Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.
Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.
Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Wale wale watukufuHao watu ni akina nani?
Kuna tatizo wakitoa?Waliyomhoji ni nani ndo akatoa jibu hilo ? Maana tangu jana ameshikiliwa na anahojiwa na TAKUKURU.
Inawezekana kwa maelezo yako hapo, TAKUKURU tayari wametoa habari hiyo kwenye Raia Mwema.
Swala sio kuibua ufisadi issue ni ukweli kwenye details za habari yenyewe.Era ya kutishana ya Magufuli sasa hivi ipo 6 metres deep kule Chato.
Wacha media iibue ufisadi under Magufuli's watch ili mama Samia airejeshe nchi kwenye mstari!
Aliyesema watu wana husuda.Signatories wa kamati ya maandalizi ya msiba, wanajulikana.
Kwa kweli mafisi hayalali,
Kuna watu walikuwa wamekula njama za kuiba pesa za wananchi zilizoko BOT kipindi cha msiba wa rais Magufuli—Gazeti la Raia Mwema linaripoti
Gazeti hilo imeweka kiwango, na hadi account number
Tunampongeza mh rais Samia Suluhu kwa kuagiza uchunguzi wa suala hili na tunamuomba kuwa pindi ikibainika nia ovu basi asiangalie mtu usoni bali hatua kali za kinidhamu katika utumishi wa umma na za kisheria zichukue mkondo wake.
View attachment 1738008
Mh Rais nchi hii ina manyang'au wengi.hakkisha unakula nao sambamba na usiwaangalie usoniDuuh Mh Rais nahisi ungefagia wote hapo anza upya la sivyo watakuangusha tu
Kama uchunguzi bado unaendelea - Ndio. Hii inaweza kujeopardize build up of evidence na kesi hasa pale zaidi ya mtu mmoja anapohusika.Kuna tatizo wakitoa?
Kama watanzania sio watu wa kuchekea maana yake hata viongozi nao sio wa kuchekewa kwani ni watanzania pia😆😆😆😆Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.
Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.
Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.
Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.
Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.
Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Ukiona gazeti kama hilo linaandika ujue wamefanya investigation ya kutosha, usidhani wanaandika kiboya tu. Kwenye journalism ndio maana kuna kitu kinaitwa investigative journalims ndio hiyo sasa na kazi yake ni kufichua yale yaliyojificha. Magufuli alizuia aina hiyo ya uandishi ili aweze kufanya madudu yake. Maana yake ni kwamba suala la ufisadi sio kwamba halikuwepo bali habari za ufisadi ndizo zilizozuiwa kuandikwa ndio maana mkadhani hakuna upigaji. Sasa muda mfupi tu tumeona ya Bandari, ATCL na BOT je mangapi mengine yatakuwa yamefichwa? Magazeti yaliyokuwepo yalipewa muongozi wa kusifu na kuabudu tu baas! Kazi njema!Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.
Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.
Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.
Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.
Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.
Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Well watatumia kauli za raisi kufungua ‘pandora box’ sasa kwa sababu upepo unavuma upande wake, aina maana utabaki ivyo kwa miaka 4.5 iliyobaki.Kama watanzania sio watu wa kuchekea maana yake hata viongozi nao sio wa kuchekewa kwani ni watanzania pia😆😆😆😆
Nimekuelewa Bi/ mkubwa ila wakati mwingine lazima wamwage maji ili mtuhumiwa asiweze kuya chota tena!Kama uchunguzi bado unaendelea - Ndio. Hii inaweza kujeopardize build up of evidence na kesi hasa pale zaidi ya mtu mmoja anapohusika.
Na ndio utaona TAKUKURU wametumia busara kutotoa taarifa ya uchunguzi. Hata pale walipohojiwa tetesi ya yeye kutoroka wakamkamatia Morogoro mmoja kasema hana taarifa na mwingine kawaelekeza kuuliza Makao makuu.
Ndio zinaweza mkuu, Kwani unafikiri akina Kitilya taarifa zao za miamala zilitolewa na nani?We unaamini private Bank inaweza toa siri za miamala ya hela?
Wewe unajua kuliko mabeho na Mama Samia? Kenge wewe
CCM ni ukoo wa panya.
mpaka lini ss?Mkuu, tumia Vpn
There is no secret under sunshine.Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.
Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.
Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.
Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.
Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.
Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.