Recent content by Pig unit

  1. P

    Maambukizi VVU imekuwa janga, hatua kali zichukuliwe. Watu 163,131 wamekutwa na HIV mwaka 2023

    Tu assume leo nimekupa 20,000 , hifadhi Kesho nikakupa 18,000, nikakuambia hifadhi pia , je hapo pesa imepungua au imeongezeka ? Kesho kutwa nikakupa 15,000, nikaumbia hifadhi , na hapo je, imepungua au imepongezeka ? Ukiweza kujibu yapo ndio dhana ya mtoa mada ilipo, hao waliogua last year...
  2. P

    Ananilazimisha tufunge ndoa na huku kitandani hayuko sawa. Tutaishije huko ndani?

    Nenda pharmacy mnunulie dawa, wape maelezo watakupa vipo vidonge, kwa wiki anamera mara moja , akushone vizuri
  3. P

    Usisome kozi ya clinical medicine (clinical officer) kabla ya kusoma thread hii

    Kikubwa hugongwi na gari ukivuka barabara hiyo inatosha
  4. P

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Hii ya mchakato kuanza upya mbona kimya kimya sana au ni habari za ndani kwa ndani?
  5. P

    Kilimo cha vitunguu kilivyonitia hasara

    Alilima mboga gani? Manake sie tupu huku na tunaingiza pesa
  6. P

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ya kwangu yawe ya mwanzo kabisa
Back
Top Bottom