Recent content by Pierre Aubameyang

  1. P

    Online tv app

    Naiomba hii mkuu
  2. P

    Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania?

    Asante mkuu azam ninayo ila target ni hii
  3. P

    Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania?

    Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania? Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania?
  4. P

    Online tv app

    Wadau mwenye link ya onlinetv app naomba anitumia ni ile ambayo ina channels za kibongo
  5. P

    Ni Online TV App ipi yenye channel za Tanzania?

    Wadau mwenye link ya online tv app naomba anitumia ni ile ambayo ina channels za kibongo
  6. P

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2018

    [emoji3][emoji3][emoji3] nilikuw offline ila nmeheshim uwepo wako
  7. P

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2018

    Nmekupata mkuu ila hzo "x" nmetumia kutokan na somo linavyotamkwa (matamshi) mfano hyo Civix [emoji2][emoji2][emoji2] usinilinganishe na wale wanaoandik xaxa badala ya sasa[emoji3][emoji3][emoji3]
  8. P

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2018

    Matokeo yangu ya 4m4 yalikuwa hiv Civx C Bioz C Chem C Phzx F Math F Englsh D Geog C Kiswahili C History C Niko njia panda cjui wap afadhar niende chuo au nikasome Advance Na kama ni chuo coz gn itakuwa bora kwa hayo matokeo yangu?
  9. P

    Mpaka leo sielewi kigezo alichotumia Diamond kuvutiwa na Maromboso hatimaye kumsajili kwenye lebo yake

    Tatz mbosso na lava lava hawajapata media tour za kutosha ndy maan tunawaona juu chin
  10. P

    Msaada: Mtu wa CBG anaweza kusoma medical lab?

    Wadau kwa aliyesoma CBG A level na akafaul vzur anaweza kwenda kusomea Medical lab
  11. P

    Nahitaji mawazo yenu

    Medical lab naweza pata
Back
Top Bottom