Recent content by Pierer

  1. P

    Ushauri: Kila nikirudi nyumbani nakuta msichana wa kazi anaangalia 'porn'

    unaoneka ndio mchezo wako nakutembea na vibeki 3 Sent from my SM-G928G using JamiiForums mobile app
  2. P

    TANZIA: Christina Lissu afariki Dunia jijini Dar

    Jaman huyu si alishakufa, mbona mnamua tena?
  3. P

    Wakufunzi wa UDOM wafukuzwa kwenye nyumba kuwapisha mawaziri waliohamia Dodoma

    Basi kama ni hivyo kwanini wasichanganyikane na Wanafunzi huko Hostel coz kuna hostel zingine hazina wafunzi, wangewahifadhi huko kwa muda wakati wanajipanga
  4. P

    Wakufunzi wa UDOM wafukuzwa kwenye nyumba kuwapisha mawaziri waliohamia Dodoma

    Acha tu wahamie watajipanga huko huko mkuu ngoja Dar nasisi tupumue na mifoleni
  5. P

    Wakufunzi wa UDOM wafukuzwa kwenye nyumba kuwapisha mawaziri waliohamia Dodoma

    Hio ni sawa na nguo ya kuazima haisitiri matako
  6. P

    Huu ndio msimamo wa Rais Magufuli juu ya vyeti feki

    Duuh hamna mtu muongo kama Gwajma, Hivi NECTA siku hizi wanatoa cheti kwa mtu aliyepata Zero.?
  7. P

    Kuhamia Dodoma: JWTZ nao wafungasha virago toka Dar!

    Usihangaike naye huyo kasoma shule ya Kata
  8. P

    Kuhamia Dodoma: JWTZ nao wafungasha virago toka Dar!

    Afadhali foleni ipungue mji huu khaa
  9. P

    Watumishi wa umma tumemkosea nini Rais Magufuli?

    Nanyie mmezidi, Wakati mnakopeshwa mlikuwaga mnambwebwe sana, yaani kidogo mmeshaandamana na nyimbo zenu za kukariri, Sasa kulipa ndio mnaonashida, hebu lipeni huko wadogo zetu wapate mikopo.Acheni kulalamika ovyo.
  10. P

    CWT, Serikali,Body ya Mikopo, Wizara Ya Elimu Sikieni Kilio Cha Walimu.

    Balaa ni wale wanaodaiwa milion 12 hadi 20 huwa nawaonea huruma sana yaani wanaweza wakalipa deni hadi anastaafu
  11. P

    Upatikanaji wanawake bikra Tanzania

    Huo ni utafiti au maoni yako mkuu?
  12. P

    Lipi jiji zuri kati ya Mbeya na Tanga?

    Kama Mnazungumzia mji uliopangwa na Kupangika Basi hakuna mji Tanzania hii unaweza kuufikia Dodoma.
Back
Top Bottom