Basi kama ni hivyo kwanini wasichanganyikane na Wanafunzi huko Hostel coz kuna hostel zingine hazina wafunzi, wangewahifadhi huko kwa muda wakati wanajipanga
Nanyie mmezidi, Wakati mnakopeshwa mlikuwaga mnambwebwe sana, yaani kidogo mmeshaandamana na nyimbo zenu za kukariri, Sasa kulipa ndio mnaonashida, hebu lipeni huko wadogo zetu wapate mikopo.Acheni kulalamika ovyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.