Recent content by phzhenry

  1. phzhenry

    Natafuta kazi Nina stashahada ya uhandisi wa mekaniki

    Umejua kuipresent vzri proffessional yako mkuu, ila njoo tu kitaa tuchafuke na oil ajira hamna
  2. phzhenry

    Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    umejaribu kupitapita mitaa ya sinza ndanindani
  3. phzhenry

    Je ni siku ngapi Ikulu wanatakiwa kushughulikia kesi ya mtumishi wa umma

    ushahidi upi unataka mkuu, solved case or vielelezo vya kesi vinavyopelekwa?
  4. phzhenry

    Nahitaji kazi yeyote Dar es salaam au popote Tanzania

    kazi ipo ila sema hii mkeo ndy atakutesa zaidi, bora uendelee kubaki na hayo mateso ya sas
  5. phzhenry

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Pole sana binti sayuni Hata iyo kukosa jibu ni jibu pia. Fanya hivi, hicho unachokifikiria kwa sas fanya hicho hicho. pia me nae niko hapa kuna mumama wangu tumezinguana kama vp njoo tufanye maisha me sina hata mtoto mmoja.
  6. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    Ukiwa na imani thabiti kwa Mungu unauwezo wa kufanya jambo lolote lile. ukisoma maandiko matakatifi katika Biblia Mathayo 21:21-22 "Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, Ng’oka, ukatupwe...
  7. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    Naweza nikathibitisha uwepo wake kwa kuwepo kwetu sisi ni udhihirisho thabiti wa uwepo wake, kuwepo kwetu sisi tu tunathibitisha uwepo wake maana sisi tusingalikuwa sisi bila yeye.
  8. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    Yana hadi wew kuwepo duniani hadi sas agenda sio kwa akinanani wamekuleta tena wao walishamaliza part yao sas kaz ni kwako na Mungu wako hadi pale siku itapokuw ndy mwisho wa wew kuwepo tena katika uso wa dunia. Swali litabaki je ulikuja kufanya nini? na hawataulizwa wazazi wako hili litakuwa...
  9. phzhenry

    Picha: Hatimae nimejinasua kwenye penzi la kitumwa

    wew na huyo mwenzako wote wahalifu tu, watu mnaachanaje ivyo kirahis rahisi tu na maisha mema bado mnatakiana.
  10. phzhenry

    Mke kukupigia pigia simu na anajua uko kazini Tena bila ishu ya dharura hii imekaaje

    inaonekana humpi mkeo nafasi ya kumsikiliza na ndy maana anaitafuta nafasi hiyo hata kupitia simu, hebu badirika mzee msikilize mkeo.
  11. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    Hili ni swali kwa kila mmoja anapaswa kujiuliza, mim nikijubu hapa nitakuw najibu kwa upande wangu ila si kwa wote.
  12. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    yote ni sababu ya Mwanadamu kuasi sheria ya Mungu pia imani haba, ikiwa kama tumepewa uwezo wa hata kuhamisha milima kwa IMANI itakuw kumdhibiti simba?
  13. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    wenda hao ndy wale wapinga kristo waliotabiriwa kwamba watatokea. Hii inaonyesha ni jinsi gani Mwanadamu aliyeumbwa na Mungu alivyopoteana na bila kutafuta mwangaza wa uelewa basi kuna hali mbaya sana.
  14. phzhenry

    Huu mradi wa Binadamu aliyeuanzisha alikuwa na lengo gani ikiwa Binadamu wanateseka ,wanauana , wanakuwa malaya n.k?

    Kwa mujibu wa maandiko Matakatifu, binadamu chimbuko lake ni MUNGU mwenyewe alimtengeneza.
Back
Top Bottom