Recent content by pHx

  1. pHx

    Tamko la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu 11 kuhusu hatima ya Mahakama ya Kadhi na hali ya Amani

    Yaani serikali isifanye kosa la kuitenganisha kabisa nchi kwa dini. Ni kosa kubwa sana...alafu naona bado haw viongozi jawajitambui kabisaaa...kwenye katiba pendekezi ibara ya 41.. Uhuru wa imani na dini..!!??
  2. pHx

    Watanzania uvivu wa kusoma mambo utatuponza,tusome katiba pendekezwa jamani.

    Wadau isomeni kwanza...mimi pia nilikuwa na mtazamo huu huu ila nimeipitia kipengele kimoja hadi kingine...kuna baadhi sikubaliani navyo kwa mtazamo wangu ila tuisome kwanza ndio tuamue....
  3. pHx

    Uwezekano wa kutoka Form Four kwenda Diploma

    Aise Comp degree tena ndio rahisi zaidi. Kuna colleges nyingi sana hapa bongo ambazo zinakubali mtu kuingia kufanya Diploma..kuna baadhi zitakubali kufanya kwa mwaka nyingine kwa miaka miwili, na kuna ambazo pia zinauhusiano wa vyuo vikuu vya Nje kama UK, INDIA na USA. Ambapo unaweza jiunga na...
  4. pHx

    Uwezekano wa kutoka Form Four kwenda Diploma

    Inategemea anataka kufanya nini yaani Degree gani anataka kuchukua..kuna baadhi inakubali kuenda kwenye diploma!
  5. pHx

    Blackberry Passport Q&A

    Wadau salama. Nauliza ambao wanamiliki blackberry passport. Je, mnanunua vifurushi vya Internet kama simu nyingine au mnanunua Blackberry Internet Service??
  6. pHx

    Nauza kiwanja kina hati miliki Goba center

    Kinanukubwa gani na umbali gani toka Barabara ya goba mbezi??
  7. pHx

    Vyuo vya private vyenye ada kubwa vyakomeshwa

    Ok jamani..swali hapa...pendekezo lenu kwa bachelors kwa mwaka ada iwe shillingi ngapi? Maana nimejaribu kupiga hesabu ya 2.2Mil kwa mwaka for bachelor degree kwa chuo kinachopokea wanafunzi elfu moja...hii hela sioni ikitosheleza kabisaa. ukitilia maanani masomo kama ya udaktari, engineering...
  8. pHx

    Vyuo vya private vyenye ada kubwa vyakomeshwa

    Je mmejaribu kuangalia resources zinazotolewa na hivi vyuo vya private hadi wakaweka ada yao juu hivyo??
  9. pHx

    Error code during while installing windows activated

    The media might be damaged then! Jaribu kutumia another media!
  10. pHx

    Error code during while installing windows activated

    What OS were you installing? The media you used, have you used it before?
Back
Top Bottom