Uupuuzi!! Wasichojua ni kwamba kuna teknologia ya kutambua video ya kutengeneza na video halisi, hii ni video halisi, Kama waliweza kusema waliyoandamana ni vijana toka nchi jirani, kama waliweza kusema video na picha zinazosambaa mtandaoni ni za kutengeneza kwa AI, watashindwa nini kukana video...
Hivi ili nchi za ulaya zipate kitu kutoka Tanzania lazima zitumie pesa kuwalipa Diaspora? Mbona wananjia nyingi tu zakuweza kutunyonya na kupata wanachohitaji kutoka Africa, bajeti zitu kwa asilia kubwa bado tunategemea msaada toka kwao, Polisi na huyo kibaraka wenu wa Canada mnatumia kiungo...
Unamtajataja Mungu ili kulaghai watu na kujikosha kama vile ni mwema sana lakini siyo kweli hauna wema, historia inakuhumu, uliwahi kutumika kumpiga Mzee Waryoba hadharani alipotuletea katiba mpya ya Watanzania, umetuhumiwa katika matukio kadhaa ya kubambikizia watu makosa makubwa makubwa mfano...
Leo mjumbe mmoja wa ccm kapita katika makazi yangu kuomba kitambulisho akamkuta mke wangu nje akamuomba ampatie kitambulisho cha mpiga kura, huku akiahidi kumpatia pesa, nilikuwa ndani nikisikia hayo mazungumzo, hakufanikiwa kutokana na uwepo wangu niliweza kuzuia jambo hilo lisitokee....
Kabla sijajibu kitu naomba kufahamu kama gari yako inatumia diesel au petrol? sababu kuna tofauti ya kufanya visual inspection kati ya gari ya petrol na diesel inapotokea tatizo la starting kama hili..
Mkuu umeandika kitalaamu au umeandika kwa uzoefu wa mtaa?
Kwanza kabisa plug haiwezi kushika kutu kutoka na mazingira yake ya utendaji bali inaweza kushika kitu kama masizi yanayotokana na mlipuko katika combustion chamber
Lakini pia plug haiwezi kuwa sababu ya starter motor kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.