Decoder au receiver (king'amuzi) ni kifaa ambacho kinaconvert mawimbi kiliopokea kwenda mfumo mwingne. Niweke swali vizuri kwako, je satellite zilizopo juu zinatuma mawimbi ya analog au digital kuja duniani?
Mkuu ngoja nijaribu, hiyo ni edited photograph ambayo ina picha 3 ndani yake. 1. ni hio ya ufukweni (ambayo ndio picha halisi) 2. ni hizo bendera na 3. ni huyo dada anaeongea kwenye mic. Kwaiho picha 2&3 zimeongezewa kwenye picha no 1. Cc Excel
Tafuta mvu tembo/dondora alie hai , halafu muweke kwenye kiboksi kidogo halafu weka mashine yako humo akikuuma tu toa kitu itakua tayar baada kma wik 1. inch3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.