Ukitaka kuwekeza D9 bila kuwa na stress za kutafuta member nakushauri ujiunge level 4,. Ambyo ni 4.7M. Level za chini lazima uwe fighter kuingiza watu ili upate faida kubwa
Habari za leo wanajamvi.
Nina malengo ya kuanzisha biashara ya kununua chuma chakavu na makopo ya plastic. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anisaidie mawazo yake na mchanganuo wa hii biashara.
Nipo mbezi Luis Dar
Habari wana jukwaa!
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na sebule, jiko, vyumba atleast kuanzia viwili kimoja kiwe master, na public toilet. Iwe maeneo ya ubungo, kimara au mbezi. Isizidi laki mbili. Budget yangu ni 150000. Namba 0712738973
Habari zenu!
Nina supply maziwa fresh na mtindi. Unaletewa mpaka nyumbani ukiwa Dar kuanzia lita tano. Na ukiwa mwenge hata Chini ya lita tano Unaletewa.
Maziwa fresh lita moja 2000/= na lita tano 10000/=.
Mtindi lita moja elfu 2500/= lita tano elfu 12000/=.
Kwa mawasiliano zaidi piga...
Habari wana Jf.
naomba kujua faida zinazopatika na kujiunga na M pawa? pamoja na a/c za mitandao mingine pia kama tigo na Voda,mnaojua naomba mtuelimishe kwenye hili.
wengine huwa wanaitwa kwenye usahili tena zote mbili, ila sasa kuitwa kuanza kazi ndio shughuli. sasa sijui wanawaita lini kuanza kazi?
eti jamani wanaojua tunaomba majibu.
Habari wana jf. naomba mnisaidie nina laptop yangu nikiweka wimbo au movie haitoi sauti kabisa, ila nikiweka earphone sauti inasikika. nifanyeje ili sauti itoke? na ilikuwa inatoa sauti tatizo limeanza muda c mrefu. Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.