Phinenicke
Member
- Nov 21, 2014
- 15
- 3
Habari za leo wanajamvi.
Nina malengo ya kuanzisha biashara ya kununua chuma chakavu na makopo ya plastic. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anisaidie mawazo yake na mchanganuo wa hii biashara.
Nipo mbezi Luis Dar
Nina malengo ya kuanzisha biashara ya kununua chuma chakavu na makopo ya plastic. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anisaidie mawazo yake na mchanganuo wa hii biashara.
Nipo mbezi Luis Dar