Recent content by Philosodilia

  1. Philosodilia

    GE2020 Jimbo la Kawe naamini Askofu Gwajima ataleta Mapinduzi makubwa ya maendeleo kuliko Mdee

    Yes mapinduzi makubwa yanakuja... Just imagine... Wakazi kadhaa wa Kawe wanakwende Jimbo la Birmingham, Marekani (sijui ya wapi but na mimi natamani niende) na wa huko wanakuja Kawe. Wana Kawe wapewe nn?!
  2. Philosodilia

    GE2020 Kawe: Askofu Gwajima (CCM) atakuwa Tanganyika Packers na kundi la wasomi na wasanii wote wa Dar

    Sidhani kama watakuja kusikiliza sera za Gwajiboi.... Wasisitizieni wasanii kutoa shoo kali ili wakazi wa kawe wasiboreke.
  3. Philosodilia

    GE2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

    Sikubali marekebisho hayo.... nasimama na neno LESS PRODUCTIVE....
  4. Philosodilia

    GE2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

    Hupelekwa serikali kuu ambapo hutawanywa na kupelekwa sehemu ambazo huenda zikawa less productive na kufanya viongozi/watu wa maeneo hayo kuwa wavivu zaidi.
  5. Philosodilia

    GE2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

    Majimbo hayo hata yakibuni vyanzo vya mapato, sehemu kubwa inaenda serikali kuu. Majimbo yawe na nguvu ya kukusanya mapato na kuendeleza jimbo husika. Sehemu fulani ya mapato hayo ndio iende serikali kuu.
  6. Philosodilia

    GE2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

    Mfumo wa majimbo utaleta ushindani kati ya jimbo na jimbo. Kama serikali ya jimbo fulani itazembea kwenye kuibua vyanzo vya mapato, basi watakuwa nyuma kimaendeleo. Na pia itapunguza mzigo kwa serikali kuu. Yenyewe itaangalia mambo makubwa haswa ya mambo ya ulinzi na ushirikiano wa kimataifa...
  7. Philosodilia

    GE2020 Sylvester Mujuni 'Mpoki' achukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni

    Imagine.... Hapa Mpoki... Pale Gwajima.... Kule Steve Nyerere...
  8. Philosodilia

    GE2020 Wingi wa wagombea CCM ni uthibitisho kazi nzuri ya Rais Magufuli kwa taifa letu. Je, Oktoba ni kuchagua au kuthibitisha tu taratibu?

    Wanaounga mkono juhudi za Mh. Rais ni wale walioamua kufanya kazi (hasa za uzalishaji) kwa bidii, weledi na uaminifu kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Watia nia wote ni watafuta umaarufu na wachumia tumbo tu.
  9. Philosodilia

    Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

    Angeaza na Hadithi Hadithi.... Ndio kidogo ingekuwa na uhalisia.
  10. Philosodilia

    Je, nimuomba msamaha au nikaushe kuonesha ndio ukidume na kufuatilia matendo ya mke wangu?

    Ingekuwa mtihani wa Kiswahili... Swali lingekuwa... 1. Andika kichwa cha habari cha hadithi hii. 2. Fupisha hadithi hii kwa maneno yasiyozidi 75.
  11. Philosodilia

    Tamaa ya vikubwa (Funzo kwa wenye michepuko)

    Dah.... Ndio umeamua ku-paste hadi namna walivyosali kama na wewe ulikuwa nao karibu yani.
  12. Philosodilia

    Kwanini Corona haijatuathiri sana waafrika weusi?

    Mabeberu wanatuaminisha vibaya eeenh...!!!
  13. Philosodilia

    Kwanini Corona haijatuathiri sana waafrika weusi?

    Mkishamaliza kujifariji hapa... Kumbukeni kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka au tumia vitakasa mikono kama maji na sabuni hayapatikani. Jitahidi kuvaa barakoa uwapo nje au kama upo nyumbani na unajihisi una maambukizi vaa muda wote. Zingatia umbali kati ya mtu na mtu. Isiwe chini ya...
  14. Philosodilia

    RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

    Wadau... Any update kumhusu huyo mwanamama?!
Back
Top Bottom