Recent content by philophy

  1. P

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    hahahahahahaaa! nicheke mm, kwan ulidhan nakuquote ili unijbu? pole sana tatzo n hyo id yako wew n mtu wa vitu fek ndo maana unaamin katka feki, halafu inaonekana hata tohara hujakwenda? shame on you... na ufaham wako wa kichina
  2. P

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    la kheri litoke wap? kwa wanawake wa mtandaon?
  3. P

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    hv kwel unaweza pata mke au mume mtandaoni au ni vioja tu?
  4. P

    Bei halisi ya mafuta inapaswa iwe shilingi ngapi?

    napendekeza iwe 1600 petroli na 1550 kwa dizeli
  5. P

    Uongozi wa Kikwete Vs Mkapa: Tatizo ni nini?

    Pamoja na yote aliyofanya JK yanayoonekana ni mazuri n kwasbbu aliachiwa fedha za kutosha, lakn chaajabu ajaye ataachiwa nchi ikiwa kwenye ukata wa kutosha, hasa ukizngatia mwaka huu una matumizi makubwa ya ziada ya fedha ilihali hata baadhi ya vyanzo vya mapato havitakuwa na nguvu kwa...
  6. P

    Katibu wa Nishati na Madini, Eliakim Maswi asimamishwa kazi

    wanaonea dagaa wanaacha mapapa.
  7. P

    Uchaguzi S/Mitaa: Mgombea wa CCM kijiji cha Isanzu Nzega auawa kwa kukatwa mapanga

    no rest in hell! mtu anapokufa matendo yake huambatana nae. kaz kwa kila mwanadamu.
  8. P

    Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

    asante mwaya!
  9. P

    Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

    ukwel n kwamba ktk kufikia soln ya hitaj lolote pana changamoto zake, hata kwenye hili pana changamoto nyng bt kwakuwa najua kukosea kwangu kunaweza nigharimu pakubwa that's why umanik na mazingatio ya vigezo yanamata pakubwa. mliotendwa mcje na historia zenu, mikakat na mipango yenu haifanan na...
  10. P

    Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

    siwez puuza bt vgezo n zingatio langu kuu.
  11. P

    Mwanamke aliye tayari kuingia kwenye ndoa

    penye imani panamajbu yote, so naamini ntampata iwe jf or wherever bt ntampata tu.
Back
Top Bottom