Recent content by philipoz

  1. P

    Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

    Nizamu ya Mzanzibari sasa
  2. P

    Tetesi: Rais kuanza ziara ya siku 6 Canada mwezi ujao

    Huyu nahisi ameshakata kamaba.
  3. P

    Zitto Kabwe aliwafanyia kitu gani CHADEMA?

    Chadema ni walevi na wapuuzi tu, ndio maana wakikosa ubunge wanaomba ukimbizi.
  4. P

    Computer na smartphone za wanasiasa wa upinzani zina nini?

    Nani kakudangaya? , bila ya kuwapa password hakuna kufungua simu labda iwe ni kimeo cha mchina
  5. P

    Ushauri: Idadi ya Wabunge ipungue ili kupunguza gharama za mishahara na kuwahudumia

    Ratio ya wabunge iwiyane na population, kwa mfano zanzibar kuna wabunge zaidi ya 50 kwenye watu million 1, wakati hata wakiwa 2 basi ni wengi. Na kama kutakuwa na wabunge 50 kila watu 1 basi kwenye watu million 60 inatakiwa tuwe na wabunge 3000,
  6. P

    Upinzani fanyeni haya kuiondoa CCM

    CCM imewekwa kwa nguvu za jeshi, police na usalama wa taifa na sio wananchi.
  7. P

    China Corona imepungua sana nao wanadai Mungu kawasaidia

    Na vilevile kutoa data za uongo
  8. P

    Imefika wakati sasa Rais akipoteza Maisha akiwa madarakani, mrithi awe mshindi wa Pili

    Mhhhh, kwa mwaka tuaweza tukawa na maraisi 5, Itakuwa ni kurogana tu
  9. P

    Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

    Makamo wa Rais wa Tanganyika hana jukumu lolote labda a subiri offer ya akate utepe, wakati Rais wa Zanzibar ni Rais wa nchi inayotambuliwa na kwa mujibu wa katiba ya zanzibar na ni waziri wa Serikali ya Tanganyika vlvl. 2in1
  10. P

    Rais Samia anaingia kwenye kamati kuu ya CCM kama nani?

    Mkuu punguza jazba, mwezi wa mfungo huu😁😁
  11. P

    Joti hana mpinzani kwenye tasnia ya uchekeshaji

    Binti nakusarimia tu
Back
Top Bottom