Kwa hili limeshatokea hatuna budi kukabiliana nalo lakini limeweka dosari kwenye ligi yetu hapa Tanzania bara,TPLB wafanye kutangaza tarehe ya mchezo huo na kuwaonya wote watakao patikana na hatia kwa mjibu wa kanuni,taratibu na sheria zinazoingoza TPLB katika kutoa haki na kuendesha ligi yetu...
Kwanza,tuelewe kuwa timu hizi mbili simba na yanga ni timu kubwa si tu Tanzania bali kimataifa hasa hapa Afrika na dunia kwa ujumla hivyo ni timu hizi zinafanya soka letu linakuwa zaidi ningewaomba wachezaji,kamati za kiufundi mfn mabenchi yote ya timu hizi mbili na uongozi wa TPL kutengeneza...
Daaaah! Kwanza nikwambie pole sanaa kwa hiyo changamoto unayoipitia ila kwanza angalia mzani wa mahusiano yenu je, yalikuwa hivyo toka mnafahamiana au tu ni mabadiriko katika safari yenu ya mahusiano? Pia angalia tofauti ya ukiwa mbali ama ukiwa karibu yake ,je kuna utafauti ukilichunguza hilo...
Ni ushauri ambao naamini utasaidia jamii na kuwasaidia vijana kufikia ndoto zao, tukumbuke kuwa wao wakati mwingine wanakuwa hawaelewi madhara ya hiyo michezo ✍️✍️
Tunapo waacha watoto kudhurura na kuwapa uhuru ulopitiliza bila kujali kesho yao ndo chanzo cha watoto kuwa wazembe na kushindwa kujifunza vitu vya msingi kama masomo hii ndo sababu wanavuna ziro huko mashuleni. Wazazi chukuweni hatua stahiki ✍️✍️
Maendeleo ya nchi yanategemea sanaa nguvu hizi
1. Viongozi wa juu waliyo aminiwa na wananchi na chama husika ili kuilinda KATIBA ya nchi pamoja na ilani ya chama husika hapa mfano mzuri mzuri ni viongozi wa ngazi za juu kitaifa ✍️✍️
2. Viongozi wa ngazi ya kati waliyo aminiwa na wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.