Recent content by Philipo dauson

  1. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kujua kuhusu Chuo cha Songea Teachers College

    Nimepata nafasi Chuo cha Songea Teachers College kusoma Stashahada ya Ualimu Kemia na Biologia. Hivyo naombeni msaada kwa anayeelewa hiki Chuo au vyuo vingine vyenye kufanana na hicho hususani suala la jinsi ya kupata GPA nzuri hapo Chuoni asanteni. Pia hiki Chuo kipo vizuri?
  2. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania EGM vs CBG ipi ina fursa nyingi za ajira na ni zipi ??

    Habarini tena wanajf nataka kuwahi advance private ety kati ya egm na cbg IPI inalipa kwenye suala la fursa za kuajiri wa au kujiajiri
  3. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Nimekosa selection diploma ualimuu msaaadaa?? Jamanii

    Baada ya kukosa selection je kuna round ngapi ? Za selection nacte pia ni lini round nyingine itakuwa online ???
  4. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Ulizo???

    Je kuna MTU alie omba vyuo vya diploma ualimu kwenye vyuo vya Mpwapwa Tc, Songea Tc na kwenye status yake akapataaaa??? Naombeni majibu maana mi sijaona chochote kwenye profile yangu??
  5. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Je selection za ualimu diploma zimetoka???

    Habarini wana jf naomba kujuzwa kama selection za ualimu diploma zimeishatoka na kama kuna aliyepata atujulishrle.
  6. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wadau

    Nimehitimu form four nikapata Kisw-B Hist-C Chem_C Bios-C Geo-C Eng C Mathematics D Civ C Nina two ya 20 Je ni wapi patanifaa kuapply kabla hawajafunga selection nacte UPI ushauri wako kwa hayo matokeo niapply coz na vyuo vipi ambavyo naweza kusoma ndani ya government NB...
  7. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Msaada wa selection za vyuo vya diploma ualimu goverment

    Lini au mpaka September na je waliokwisha tanguliaaa
  8. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Msaada wa selection za vyuo vya diploma ualimu goverment

    Natanguliza shukrani kwa wana JF kwa kazi mnayofanya na Mimi nimeapply vyuo vya diploma education vitatu Nina two ya point 20 chemistry, biology zote Nina c vyuo nilivyoomba ni mpwapwa Tc na Songea Tc je na tukuyu Tc je nawezakupata hapoooo???? Pia kama ikiwezekana je ni lini majibu yatawekwa...
  9. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Matokeo

    CBG ndo mpango mzimaa nami naipenda pia tukakomae NAyoadvance
  10. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania Matokeo

    CBG ndo mpango mzimaa nami naipenda pia tukakomae NATO advance
  11. Philipo dauson

    JamiiForums Tanzania msaada wa kupata shule au chuo kwa matokeo haya.

    Kwa history kubwa ya art comb government no ngumu aisee
Back
Top Bottom