Naunga mkono kodi ya nyumba za wafanyabiashara.
Mfano hapo Sinza Dar es salaam Kuna biashara ya Hostel za Wanachuo ..Chumba kimoja kina wanachuo ama Vitanda 3Double Dekker ambayo inachukua wanachuo 6 .
Kila mwanachuo analipia Elfu 65,000Tsh kwa Mwezi kwa Watu 6 sawa na 390,000Tsh kwa Mwezi kwa...
Na pia kupanda mlima ni Siku 5 Marangu route
Siku 6 Marangu route,
Siku 6 Machame route ,
Siku 8Lemosho route
Marangu route mnalala kwenye nyumba na vitanda vimo.
Machame route mnalala kwenye Tents .
Haya sema ni njia IPI ?Mnataka?
Ni kama watanzania mmeamua ghalama sio kubwa ila kwa watanzania
Ni kiasi cha kusema mpo wangapi ndio mmpewe bei
Bei hulingana na idadi ya Watu .
Semeni je mpo wangapi niwape bei_?
Asanteni
Unajua kuwa mtoto was Rais nikama Rais pia? Kwani Mtoto wa Rais ni family ya Rais? Unajua hilo? ...Mtoto wa Rais anaitaji ulinzi mkali na heshima pia ..Hivyo wote mnaomjadili huyo Mtoto nivema mkatambua kuwa heshima ni jambo jema kwa hata mtoto .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.