Recent content by philemon musa

  1. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu ku unlock simu

    Habarin jamani nina simu nmeinunua ya itel asa ninataka ku unlock inataka email ya nyuma asa Nifanyaje kwasababu email ya nyuma siijui na mwenyewe aliyeniuzia hajui email yake@chiefmkwawa
  2. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu kufungua password za pc

    Jaman nmefunga pc yangu kwa password bado mpya kabisa lakini nikiingiza ile password niloiweka inakataa kufunguka nifanyeje@chiefmkwawa
  3. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu ku-update android version

    Simu yangu ni Samsung galaxy s 5 niliiflash mara ya kwanza haikuwa na android ya lollipop asa nataka kui update iwe na android ya mwanzo nifanyeje?@chiefmkwawa
  4. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu kuunganisha simu mbili katika mawasiliano

    Kama unajua nielekeze ndgu coz tunapeana ujuzi tuu kuhusu mambo mbalimbali
  5. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu kuunganisha simu mbili katika mawasiliano

    Coz kuna mtu ana cheat ktk loves so nataka kujua icho tuu
  6. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu kuunganisha simu mbili katika mawasiliano

    Hbrn wadau wa if naomben msaada maana nataka kumuunganisha mtu ktk simu yngu ili kama anawasiliana na mtu mwingine nijue anachowasiliana nae na ktk sms zake anazochati niwe naziona kupitia simu yng
  7. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu simu yenye tatizo la mtandao

    Nmeidownload uc browser lakin mtandao bado unakataa
  8. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu simu yenye tatizo la mtandao

    Cm yangu ni galaxy s 5 ninapotaka ku -Google ina-search lakni baada ya hapo inaandika web-page is not available ko nataka kujua tatizo ni nini @chiefmkwawa
  9. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu simu yenye mwanga mdogo

    Sumsung galax s 5
  10. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu simu yenye mwanga mdogo

    Naomba mnisaidie simu yangu ina mwanga mdogo sana na inanipa shida kuangalia so nataka kujua nini nikifanye ili iweze kuongeza mwanga@chiefmkwawa
  11. P

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu ku lock simu

    Nataka ku lock simu yangu ili ata kama itapotea niweze kuipata kwa urahisi sumsung galax s 5 CHIEF MKWAWA
Back
Top Bottom