Simu yangu ni Samsung galaxy s 5 niliiflash mara ya kwanza haikuwa na android ya lollipop asa nataka kui update iwe na android ya mwanzo nifanyeje?@chiefmkwawa
Hbrn wadau wa if naomben msaada maana nataka kumuunganisha mtu ktk simu yngu ili kama anawasiliana na mtu mwingine nijue anachowasiliana nae na ktk sms zake anazochati niwe naziona kupitia simu yng
Cm yangu ni galaxy s 5 ninapotaka ku -Google ina-search lakni baada ya hapo inaandika web-page is not available ko nataka kujua tatizo ni nini @chiefmkwawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.