philemon musa
Member
- Oct 31, 2017
- 11
- 1
Cm yangu ni galaxy s 5 ninapotaka ku -Google ina-search lakni baada ya hapo inaandika web-page is not available ko nataka kujua tatizo ni nini @chiefmkwawa
una bando hemu ingia play store search udownload UC BROWSER FAST then jaribu kuifungua na ugoogle km itakataa kbs ndo ujue ttz ni nini au hiyo google search clear data then ingia upyaCm yangu ni galaxy s 5 ninapotaka ku -Google ina-search lakni baada ya hapo inaandika web-page is not available ko nataka kujua tatizo ni nini @chiefmkwawa
Simu yangu haishiki mtandao lkn hata neno mobile network halipo kwenye simu nifanyeje ili lionekaneNenda kaseti network.
SETTING>CONNECTION>MOBILE NETWORK>ACCESS POINT NAME:
kwenye name andila jina la mtandao unaotumia mfano; tigo
Penye APN andika Internet kisha save.