Nafikiri ingekua bora kama watakua na utaratibu maalumu wa kuwafanyia usaili waombaji ili kupunguza baadhi ya hasara ya kwa waombaji kusafiri umbali mrefu halafu anakua amefanya utalii wa ndani.
Habari wandugu! Natafuta kazi ya kufundisha katika shule za private, Level yangu ya Elimu ni Shahada, nina experience ya kufundisha kwa masomo ya Biology na Chemistry..
0757995789
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.