Recent content by PHILEMAN

  1. P

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    nataka nijue kodi yangu nayolipa wanaitumiaje?
  2. P

    TBC1 wana matatizo gani leo?

    87.5 masafa ya dsm sijui redio gani wanarusha live..
  3. P

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    pia kuna radio inarusha unaweza ukasikiliza kwa hapa dar frequency zake ni 87.5 sijajua bado ni redio gani
  4. P

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    ukipata ela nunua inverter au solar kama upo maeneo yenye kipindi kirefu cha jua.
  5. P

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Habari wakuu, naombeni ratiba ya uwasilishwaji wa ripoti ya PAC, itaanza saa ngapi? maana wengine tunataka tutoroke kazini kidogo..
  6. P

    Kauli hii ya Mh. James Lembeli, Ni kweli au?

    hakuna taasisi inayoaminika hao wanajeshi amewaogopa tu, bunge kalitetea kwa sababu naye mbunge ila hakuna nasema tena hakuna.
  7. P

    Kwanini Bunge lisimwajibishe Raisi Kikwete?

    wabuyaga hili bunge pia inawezekana kama wananchi tukiwahamasisha wafanye hivyo
  8. P

    Kwanini Bunge lisimwajibishe Raisi Kikwete?

    Kwa jinsi hali ya Ufisadi ilivyoshamiri tangu Raisi Kikwete aingie madarakani hastahili tena kuliongoza taifa hili. Kujiuzuru na kufukuzwa kwa watendaji peke yake haitoshi. Kama Bunge halina uwezo wa kujadili masuala yaliyopo mahakamani kwa nini wasitumie nguvu yao kisheria ya bunge kupiga kura...
  9. P

    CHADEMA Inaongoza nchi Indirectly

    Mkubwa polepole nilitaka kujua wangapi wamesoma rasimu, ha ha ha.
  10. P

    CHADEMA Inaongoza nchi Indirectly

    Hii inaitwa DHANA YA RASIMU SIFURI YA MAPENDEKEZO YA WADAU KUHUSU KATIBA MPYA YA JAMHURI YA SHIRIKISHO LA TANZANIA.
  11. P

    CHADEMA Inaongoza nchi Indirectly

    Sura ya 1 Ibara ya 1(4) ya Rasimu ya Katiba Mpya inasema ''Tanganyika itaitwa jimbo la Tanganyika na Zanzibar itaitwa jimbo la Zanzibar na kila jimbo litaongozwa na Gavana'' Hii ni sera ya CHADEMA ya Majimbo. Cha Kushangaza Mwenyekiti wa Tume alisema Tume haijapendekeza Serikali ya Majimbo...
Back
Top Bottom