Recent content by Phide Wa Pili

  1. Phide Wa Pili

    Nahitaji ushauri wa biashara ya Pharmacy

    kwa kuongezea tu ni kwamba Pharmacy yeyote iwe ya jumla, au rejareja, au jumla na rejareja, ni lazima iwe na mfamasia aliesajiliwa pamoja na farm technician aliesajiliwa, akikosekana hata Moja hapo hio pharmacy inafungwa haraka na balaza la pharmacy,, mfamasia aliesajiliwa (registered...
  2. Phide Wa Pili

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Hayo mashimo ndipo nguzo zinaendelea kusukwa kwa nondo then zege,, Wameanzia maeneo ya mkuyuni wanasogea kuelekea mjini kati steshen,, Ulizia mtu anaetoka mwanza atakwambia,, au tumia google map utaona kazi inaendelea. Simu nilionayo haipigi picha vizuri.
  3. Phide Wa Pili

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Mpya ndo hii sasa, kwani hamkujua kua kuna hii project ya SGR ya juu kwa juu hapa Rock city?Mwanza ni juu kwa juu kama Dar tu
  4. Phide Wa Pili

    Kisumu vs Mwanza

    Mwanza hiooo!
  5. Phide Wa Pili

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Nidhamu iwepo, Dodoma ni makao makuu ya nchi,, Mwanza ni jiji la pili la kibiashara baada ya Dar es Salaam,, Arusha ni jiji kuu la kitalii Tanzania. Hapa ni jiji la Mwanza, SGR inapita juu kama Dar es Salaam. Km kadhaa juu kwa juu mpaka station.
Back
Top Bottom