Recent content by PharmD

  1. PharmD

    How does WhatsApp Make Money?

    I'm sad kwamba sijapata jibu la uhakika hapa, anaesema unapotosha nae hana jibu
  2. PharmD

    Naomba ufafanuzi juu ya Mambo haya Muhimu Wadau

    1. Mwishoni mwa mwaka jana serikali kupitia TCRA ilitangaza kupungua kwa gharama za mawasiliano toka tarehe 1 mwk huu. Binafsi nilitegemea mabadiliko kwenye bei za vifurushi but sijaona hvyo. Naomba anaelewa anipe ufafanuzi 2. Serikali ilitangaza free to Air channels nakuzitaja decoder...
  3. PharmD

    Naupinga Mtazamo wa Kiuchumi wa mzee Edward Lowassa

    Anaandika Bony Mmbando. Ninaupinga mtazamo wa kiuchumi wa Mh Edward Lowassa juu ya serikali ya JPM na utengenezwaji wa Ajira nchini. Swala la Ajira niswala ambalo ukuuaji wake unategemea Zaidi kupanuka Kwa uchumi. Kama uchumi wa jumla unapanuka ni rahisi kuzalisha Ajira kuliko ilivyo sasa...
Back
Top Bottom