Kuna kijana hyu amesoma shule ya kata rombo mamsera kilimanjaro alipt dv 1 akapangiwa advance bukoba akamliza na 1 yapoint 7 akaomba chuo mwaka jana akashindwa kwenda kutokana na kiwango cha mkop MWAKA KAOMBA TENA IFM KAPAT HADI SASA BADO AJAENDA KWA VILE AJUI ATAPATA MKOPO % NGAPI WAZAZI WAKE...
Nina computer yangu hp i3 core power suplie imekufa nikanunua nyingine used ila imewaka ila sasa inawasha tatizo inazunguka high speed kama ime overload muda wote hapa tatizo nini inavuma muda wote
Mgonjwa wangu anasumbuliwa na mgongo juu ya kiuno kidogo alipiga xray wakamwambia pingili azina shida ila ana uchafu pembeni ya uti wa mgongo dawa kamaliza ila bado anapata maumvi je hii utokana nini na tiba yake asanten sana
Tunaomba pia turusiwe kufanya kazi kabla ya saa nne asubhi ikiwa tu umefanya usafi eneo lako maana baadhi ya watu hawafanyi usafi na kaz awafanyi je lipi jema kuweka MAZINGIRA. SAFI NA KUWNDELEA KUTAFTA MAISHA ILI KUKAMILISHA DHANA YA HAPA KAZI TU KUANZIA SAA KUMI NA MBILI HADI SAA NNE ASUBHI NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.