Ila tambua kuwa wapiga kula c wana ccm pekeyake.
Weka uchama pembeni, kiongozi wa sasa ni sahihi kwa wa TZ-kama na ww ulikuwa mpigaji dili pole sana.
Kwa cc watu wa chini-hakuna madhara yoyote yale.
Kutoa magufuli kwa sasa unahisi nani anafaa kuongoza hii nchi??
"Poor politics."
Haya ni Yale unayoyawaza ww-Ila tz ya Leo c ile ya 2015 na miaka iliyo pita.
Kushindwa uraisi kwa Magufuli 2020 ni sawa na babadiliko yaliyo tokea Libya-Magufuli c wakupigwa kwa sasa, tusiishi kwa kutegemea kupiga dili, siasa tukiiyendekeza sana ni mbaya katika maisha-machafuko mengi...
Kampuni za cm ndizo zinazo katwa-kama ukinunua mia tano, inakatwa VAT wanakuletea SMS ya hiyo kodi-lakini ww muhusika Salio lako linabaki na thamani ile ile. Fuatilia utagundua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.