Tatizo kama hili liliwahi kunipata,,Baadhi ya Dawa Zina kemikali inaitwa #Sulphur...watu wengi wana mzio nayo ukigundua una mzio na hii kemikali waambie madaktari kuwa una mzio utapewa dawa stahiki
Nimefuatilia comment za ugonjwa uliompata mama yako..kuna mtu kasema yawezekana ana minyoo?je niongee unayoniongelea hapa?nianzishe mada kuonesha mazingira ya minyoo?Nilishabadilika ndo mana namuomba Mungu Mwenyezi akubariki sana..mama yako ni Kama mama yangu simlaumu siwezi hitimisha chochote...
Nimefuatilia comment za ugonjwa uliompata mama yako..kuna mtu kasema yawezekana ana minyoo?je niongee unayoniongelea hapa?nianzishe mada kuonesha mazingira ya minyoo?Nilishabadilika ndo mana namuomba Mungu Mwenyezi akubariki sana..mama yako ni Kama mama yangu simlaumu siwezi hitimisha chochote...
shukrani kaka..na hiyo ilikuwa sababu ya mimi kuacha shule maana nlipopatwa na tatizo mwaka 2012 nlianza kuhisi vitu vinatembea mwilini...nlikomaa na shule mpaka nlipofanikiwa kumaliza..nlipomaliza tatizo liliisha maana nlihama bweni nikarudi nyumbani...matokeo yalitoka nmefaulu nkaenda shule...
nmekubali matusi yako yote.. Namshukuru Mungu kwa yote names mba anipe uvumilivu kwa kuwa amekubali niijue dunia na nione tabu za huku duniani..zamani nlikuwa kama wewe..mwepesi kutoa majibu mwepesi kuhukumu nao kuona makosa ya watu...nlikuja kupata hili tatizo..hakuna kitu sijafanya nmetumia...
mama yako ana tatizo linalowasumbua kichwa..Mimi nina tatizo linalonisumbua kichwa...je unajuwa nafahamu mtu mwenye dawa inayoweza kumponya mama yako moja kwa moja?
nakumbuka nlipata hili tatizo baada ya kuota kuna paka anakuja kunirukia nlivoshtuka nikawa kweli nmechanjwa usoni na utosini..waganga nlienda kwa mmoja mara Kama 5 hivi kila nkifika anapiga chenga naambiwa hayupo..mwingine nlitibiwa lakini chawa hawakuondoka nlipona matatizo mengine ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.