Recent content by petro matei

  1. petro matei

    Vita ya Kiuchumi: Ningekuwa Rais wa Tanzania ningeanzisha ujenzi wa reli ya SGR kutokea Bandari ya Tanga hadi Kagera, Rwanda na Uganda

    Dah hili wazo Leo naona kenya na uganda wanataka kujenga wao😭 Uliona mbali
  2. petro matei

    Nimesoma kitabu chote cha Mtumishi wa Mungu Dana Morey sijaona viashiria vyovyote vya ushoga

    Yes! nimesoma kitabu chote kimenibariki sana kwa Neno la Mungu, sijaona hata Maneno au habari mbaya zilizo na viashiria vya ushoga hakika. Nimebaki najiuliza waliompa taarifa Mkuu wa mkoa JE ni rangi ya nje ya kitabu au rangi ya mipira maana pia Haina rangi za upinde wa mvua (Rainbow) Kwa...
  3. petro matei

    Bandari ya Bagamoyo tumaini jipya kwa ukanda wote wa Pwani

    Kwa kweli kwa wasiojua kuwa bandari bagamoyo ambayo itajengwa sambamba na eneo maalumu la kiuchumi la viwanda (economic zone). Mradi huu utakuwa na manufaa makubwa sana kwa wakazi wote wa ukanda wa pwani yaani dar es salaam, pwani yenyewe na tanga na Tanzania kwa ujumla. Bandari hii inajengwa...
  4. petro matei

    Watanzania wameyakataa kabisa majiko ya umeme, hivi ni ujinga au ushamba?

    Tatizo umeme sio wa uhakika mfano unapika ugali mara umekatika si utaishia kunywa uji ndio maana watu wengi wanaishia kutumia gesi inakuwa na uhakika chakula kuiva bila shida
  5. petro matei

    PreGE2025 Kitendo cha Heche kusema akiingia madarakani anafungia betting kimenitia hasira, Oktoba kura yangu kwa CCM

    Ajasema hapo atafungia bali utakuwa mwisho wa vijana kubeti akimaanisha kuwa mwisho wa vijana kutegemea betini na sio kufungia betini
  6. petro matei

    Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa

    Safi Mama ni msikivu anasikia
  7. petro matei

    Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa

    Kama Chato inapigania kuwa Mkoa kwann sio Bagamoyo yenye vigezo vyote
  8. petro matei

    Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa

    Nachojua chalize ni wilaya
  9. petro matei

    Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa

    Kwa heshima ya jina la bagamoyo na pia ukuaji wake wa kimaendelea ya kimkakati kama bandari inayoambatana pamoja ukanda maalumu Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo (Bagamoyo Special Economic Zone – BSEZ), Sasa ni muda kwa Mkoa wa Pwani kugawanywa Wilaya Bagamoyo Wilaya kibaha Wilaya chalize...
  10. petro matei

    Pamoja na kupenda kwake Sifa, Makonda bado anafaa kuwa Rais wa JMT. Ni Mtu mkweli asiyekumbatia Uoga!

    Makonda Haifa kuwa mtu wa mwisho wa maamuzi labla waziri
  11. petro matei

    Ushauri: Serikali ianze kuandaa Mifumo mipya ya Kodi za Magari, Pikipiki na Guta za Umeme

    Ifikapo mwaka 2030 Hadi 2035 vyombo vya usafiri vingi vitakuwa vinatumia UMEME hivyo utegemezi wa Kodi kupitia dizel na petrol kutakuwa si chanzo kizuri cha Kodi tena. Na pia Serikali ipunguze kutoa leseni za petrol station badala yake watoe leseni ya vituo vya kuuzia gesi haswa kwa dar na na...
Back
Top Bottom