Imeandikwa na Hash Power kwa Msaada wa Mitandao.
Mei 30, 2020 ilikuwa ni siku ya kukumbukwa katika historia ya sayansi ya anga, astronomy duniani kote na hiyo ilikuwa ni baada ya kufanikiwa kwa chombo maalum kiitwacho Falcon 9 kufanikiwa kuwapeleka salama wanasayansi wawili, Doug Hurley na Bob...
Yoshua 9
YOSHUA 9
Udanganyifu Wa Wagibeoni (wapalestina)
1 Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa...
Hizi benki Nmb na Crdb zinaongoza sio kwa sababu ya akili za mtu bali ndio zinazoongoza kumpokea mishahara ya wafanyakazi wa umma na binafsi hii ndio sababu kuu.
Ingekuwa anaongoza Akiba Bank na kuiingiza kwenye top 10 tu hizo pongezi ulizotoa angestahili.
Watu walimsifia Kimei kuongoza Crdb kwa...
Punguza vya kula vya wanga
Punguza nyama nyekundu
Punguza vitu vya sukari
Punguza kulala mchana
Acha pombe
Acha soda
Acha joice
Acha wali
Acha ngono
Acha kuchek movie au series kwa muda mrefu
Acha kucheza game muda mrefu
Pendelea fanya mazoezi kidogo
Pendelea mboga za majani
Pendelea bidhaa za...
Mbona kichwa cha habari umeki edit ?
Tofauti na kichwa cha habari cha mwanzo baada ya hii habari ya wachezaji kufungiwa kutoka. huku ni kupotosha watu.
Mtume Paulo alipata maono kabla ya Petro wala hakukuwa na ugomvi
:
Wagalatia 2 :
1 Kisha, baada ya miaka kumi na minne, nalipanda tena kwenda Yerusalemu pamoja na Barnaba, nikamchukua na Tito pamoja nami.
2 Nami nalikwenda kwa kuwa nalifunuliwa, nikawaeleza injili ile niihubiriyo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.