Mama kacheza 4.4.2 jafo alikuwa kipenzi cha magu na miradi mingi ya magu anaijua kindaki ndaki kamsogeza kwake kule tamisemi angempiga umi ataweza kumcontrol tamisemi kwa wapigaji kabudi kusafiri na deshideshi kumemponza
Chuma kimeondoka imebaki kama mchezo wa kuigiza. Any way liwalo na liweeee kile chuma kikiongea mwili unasisimka huku akimalizia Uniombeee uzitohofu umungu ndani yake labda Mungu ameruhusu kumchukua tujue kutofautisha
Haya je huyu atakubali ile hali waliyokuwa wanataka jamiii ya siri..?kanuni yao no tatizo + uvumbuzi. Mkubwa aligoma tatizo la kwanza Ye kakasemaMungu Yupo.... wakamchukua aliyemuweka.. la pili mkubwa kagoma... wakamchukua yeye... sasa huyu atakubali??? Au naye watamchukua wamlete wao Mr...
Mlie tu basi kwa taharifa yenu .......kasimu yupoooooooo palamagamba yupoiiioojiii na yule wa ardhiiii yupoooo hata jafoooo yupo sana hata mkiloga kati yao makamu wa rais
Sisi tunasikia raha pale utapofungua Wallet tu kutoa pesa Mwanamke ni pesa tu ndo raha .hutoi pesa alafu unataka mwanamke asikie raha wee ulisikia wapi
Wenawe Mnyika unajisaulisha kipindi kile unaruka ukuta shulee ya loyola ili upate kula si kura leo Halima karuka ukuta bungeni ili nao wapate kula unabweka nini shida nilikuwa simpendi halima Mdee ila kuanzia sasa ni heko kwake hayaaa Huyo Lissu yupo huko Ulaya anakula pancake na nawazungu Mbowe...
Ebu tulieni mfanye kazi kwa kutulia mtachafua kituo barabara za nje ni tope kama lote msifanye abilia wachanike misamba alafu mjipange vizuri kuhusu bei za frem si kwa kukomoa etiii mnada basi matajiri ndo watapangahizo frem
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.