Pale hospitali wanafunzi hawa watapata huduma mbalimbali, mf. Kuna vifaa watatumia wakati wa mafunzo lakini pia kufundishwa na watumishi waliowakuta.
Hospitali husika huwa inatoa motisha mbali mbali kwa watumishi wake, hivyo lazima ikusanye mapato ili kufanikisha majukumu yake. Moja ya vyanzo...
Unaweza ukashindwa kuhamia ila itakuwa imesogea, probably utakuwa umepaua, hivyo ukiongezea kidogo 6-10 unaweza weka madirisha/ grill na lipu na rough ukahamia
Basi stori yako ni ya kuungaunga, watia nia wengi wanajulikana, na wengine walikuwa katika majukumu mengine ya kiutumishi na sio siri tena. Kwa hiyo kuficha jina sioni kama ina athari sana
Kabla hawajaja wa kushauri juu ya aina ya mashine, ni vema ukayajua haya machache
Soko lako li wapi, ukianza na upatikanaji wa walighafi (mahindi) yenyewe utakapoyapata kwa bei nafuu ili kupunguza gharama za uzalishaji, pili sehemu uliotageti kuuzia product (unga) wako.
Ni vema sehemu...
Kufanya jambo ilhali unajua kile unachokifanya kimenajisiwa kimaamuzi na bado ukaendelea kukifanya utakuwa huitendei haki akili yako. Badili muundo wa kukifanya, kususa ni sehemu mojawapo, uchaguzi sio huu tu hata 2025 tutapiga kura haina tatizo.
Kwa Tanzania uchaguzi wa haki bado sana. Kiukweli sioni haja ya kujiandikisha zaidi ya kupata kitambulisho kwa ajili ya shughuli zenye kuhitaji uwepo wa kitambulisho, ila si kwa kupiga kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.