Amani iwe nanyi, tangu tupate uhuru watanzania tumeongozwa na ccm na kuna kila dalili tutaendelea kuongozwa na ccm tena safari hii tutaongozwa kwa mabavu.
Nimetafakari Kwa kina na kugundua chama cha mapinduzi ni genge la wezi waliotubia kwa takribani miaka37 na bado wanalindana na kuendelea...
Amani iwe nanyi, ni takribani miaka miwili tangu uchaguzi mkuu umalizike 2015. Ukweli usiopingika ni kwamba bila CHADEMA imara na Muungano wa vyama vyama "ukawa" Leo hii magu asingekuwepo ikulu.
Namshari mtukufu na ccm kwa ujumla kwamba wasiue upinzani wawaruhusu nao wafanye siasa kama CCM kwa...
Amani iwe nanyi, kitendo cha lowassa kutoka hadharani na kumsifu kumpongeza mwenyekiti wa ccm kwa kazi nzuri aliofanya ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa, kuua separation of power na kamata kamata ya wapinzani na kuua Uhuru wa kujieleza in cha kushangaza kwani kabla ya hapo kulikua na tetesi...
Amani iwe nanyi, napenda kuuliza maana kuuliza sio ujinga. Hivi ule mgodi wa makaa ya mawe pale kiwira ulirudishwa serikalini au bado ni wa mh mkapa?
Pia napenda kuuliza ile mitambo ya Richmond pale ubungo ambayo imebadilishwa jina sasa inaitwa DOWASI ni Mali ya serikali au bado ni ya mh...
Amani iwe nanyi, napenda kuuliza maana kuuliza sio ujinga. Hivi ule mgodi wa makaa ya mawe pale kiwira ulirudishwa serikalini au bado ni wa mh mkapa?
Pia napenda kuuliza ile mitambo ya Richmond pale ubungo ambayo imebadilishwa jina sasa inaitwa DOWASI ni Mali ya serikali au bado ni ya mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.