Recent content by Peterson 007

  1. Peterson 007

    Je wajua kwamba Allah kwenye Quran anasema anahitaji kunusuriwa?

    Aya hii inafundisha kuwa iwapo waumini watajitolea kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu – kwa moyo, maneno na matendo – basi Mwenyezi Mungu atawaunga mkono na kuwaimarisha katika maisha yao yote ya duniani na Akhera.
  2. Peterson 007

    Mambo 10 niliyoyaona Simba vs Tabora

    Awesu fundi
  3. Peterson 007

    Kanisa Katoliki mnazingua, michango imekuwa kero

    Ukiona muumini analalamika kuhusu michango/sadaka ana asili ya uchoyo na ukiona madhabahu muda mwingi inahubiri kuhusu sadaka bhasi kuna mahali imeyumba
  4. Peterson 007

    Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

    Nilisoma kitabu kinaitwa "Jijenge kimawazo" mwandishi ni Clement Fumbuka,kilikuwa kitabu kizuri sana nani anamjua mwandishi huyu na vitabu alivyoandika upatikanaji wake?
  5. Peterson 007

    AzamTv wametudanganya kuhusu kuonesha michuano ya Euro

    Kutwa nzima wao ni marudio ya vipindi tu
Back
Top Bottom