Aya hii inafundisha kuwa iwapo waumini watajitolea kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu – kwa moyo, maneno na matendo – basi Mwenyezi Mungu atawaunga mkono na kuwaimarisha katika maisha yao yote ya duniani na Akhera.
Ukiona muumini analalamika kuhusu michango/sadaka ana asili ya uchoyo na ukiona madhabahu muda mwingi inahubiri kuhusu sadaka bhasi kuna mahali imeyumba
Nilisoma kitabu kinaitwa "Jijenge kimawazo" mwandishi ni Clement Fumbuka,kilikuwa kitabu kizuri sana nani anamjua mwandishi huyu na vitabu alivyoandika upatikanaji wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.