Vipi kama miwani aliyovaa inayonyesha kuwa tunazama, wakati ndo tunaibuka? Shida kwasasa si nani aliepitisha kibaya, shida ni pale wazuri wanapotaka hata hicho kibaya kisilekebishwe kwa mwanvuli wa kuleta madhara,.. what if hayo madhara is the only envitable sacrifice we need to go through...
Sikushangai, kwakuwa najua si tu umependa uzuri wake, bali mpaka hata ujinga wake.. unataka kuniambia hakuna zuri lolote katika kuzuia mchanga huo? kwan hujui hoja za chadema kwa mda mrefu kuhusu rasilimali? Umeisoma katiba ya Chadema? Kwani Sila hakuwa kama Tudu lissu? Unajua sasahivi yuko wapi...
Mimi nina mashaka na chama cha Chadema, nilikuwa nawaamini sana, lakin baada ya Sila kushndwa urais na kukimbilia Canada, kwasasa sitashangaa kumuona Lissu akihama nchi baada ya kumaliza kazi yake aliyopewa na how Mabepari, kwani walijua kuwa ni moja ya wanasheri wakubwa na wanaoweza kugundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.