Please nimeanzisha huu uzi sio matusi but tueleweshane sisi kama vijana kuhusu serikari yetu na nini tufanye maana kuna viongozi wakubwa wanapita humu JF na watu wazima pia...alafu kiufupi inatuchanganya kidogo watu wanefanyiwa usahili elfu 6 lakini ndani ya siku 3 wanatoa majina 300 kidogo...
Habari zenu wana JamiiForums naona majina ya watu wanaoitwa kwenye usaili wa anwani za makazi ni wengi sana kuna mtu kapata hii kazi bila kusaidiwa vilevile kwa mtu anaetaka kupata connection inabidi mtu wake wa karibu awe na wazifa gani serikarini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.