Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,834
Habari za mda huu ndugu wana JF, nilikuwa kwenye masomo chuo x sasa tumefunga nipo kitaa lakini cha ajabu naskia tu kila mtu anaulizia kuhusu ajira za anwani ya makazi, nikiwauliza hawanipi majibu wanasema nifate masomo.
Nimekuja kwenu sisi nini ndugu Naombeni mniambie haraka iwezekanavyo mimi ni mzee wa kucheza na fursa staki kuikosa hii, popote nipo tayari kwenda maana nipo kitaa niponipo tu kama Lofa vile Sina jipya.
Nimekuja kwenu sisi nini ndugu Naombeni mniambie haraka iwezekanavyo mimi ni mzee wa kucheza na fursa staki kuikosa hii, popote nipo tayari kwenda maana nipo kitaa niponipo tu kama Lofa vile Sina jipya.