Wanawake bwana, utadhani anamuonea huruma mwanaume ila ukweli ni ubinafsi wa kutaka mume ila asiwe na watoto wakate yeye anao na hataki kumzalia watoto
Mapendekezo ya kifeminist. Adhabu ya kutekeleza mauaji kwa mujibu wa sheria ni kuhasiwa ?? Vipi kama kuna mwanamke pia alihusika, yeye watamngoa kinemb.e au ?!
Salam wanajukwaa,
Mimi sio mgeni sana wala mwenyeji sana hapa jukwaani ila napiga hatua mbele ili kuweka kusudi langu mbele yenu.
Awali ya yote naamini kila jambo na wakati wake, kusudi na mandhari yoyote yaweza kua muafaka wa kukutana na kuendeleza urafiki au hata mahusiano ya kibiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.