Mimi nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009 ila sikufanya vizuri kwa kupata divition four ya 30 yani civ-D geo-D his-D eng- kisw-D math-F bio-F ila kutokana na hali ya kimaisha ya familia siku tafuta chuo chochote ila mwaka jana nikaona vema nirudie mtihani lakini pia mambo yamekuwa mabaya kwani...
Waislam wajue kuwa uvumilivu huwa una mwisho kwa hiyo wasipo taka suluhisho tutawachoka na huo ujinga wao wanao ufanya wote ni watanzania ningependa binafsi tuishi kwa aman ila wakiendelea ya nigeria yatakuja TZ
Kweli redio iman ni nzuri kwa sababu ni moja ya chombo ambacho kinafanya kazi ya mungu pamoja na kuelimisha jamii kiujumula lakini tatizo ni moja tu UDINI iaache kwa sababu zaidi itangaze maneno ya mungu hapo tutaendele lasivyo hamnakitu tutakacho kifanya zaidi ya kusababisha machafuko,ni hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.