Kwenu wapendwa Mimi nimepata
Phy D
Chem C
Bio C
Geo D
Math C
na mengine yote yalIobaki nina "C" kwani itakuwaje naweza kwenda shule ya serikali na comb. Ipi ya science imekubali hapo??
Habari! Wana Jf hivi ni kweli wale wahitimu wa kidato cha nne mwaka huu ambao wamepata div. 3 ndo wanaenda teaching(primary)?!
Mimi nina div.2 Kwa alama hizi naweza chaguliwa serikali na comb. Ipi ya science??
Bio C
Phy D
Math C
Chem C
Geo D
Halafu mengine yote yalobaki nina "C"
Jaman wana jukwaa naomba mnisaidie nmepata DIV.2.. eti kwa alama hz naweza unda comb. ipi Ya science.
Bio.C Chem.C Geo.D B/math.C Phy.D mengne yote Ya art nmepata C ushaur jaman.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.