Recent content by Petabyte186

  1. Petabyte186

    Wale wa Dodoma University UDOM

    Naomba msaada jamani
  2. Petabyte186

    Wale wa Dodoma University UDOM

    Habari wana JF? Kunaswali kidogo linanichanganya ningependa kupata msaada. Kuna karatasi za payment information unakuwa unapewa ambazo zina control number. Hizi namba ndo unakwenda kulipia bank au vp.?? Maana kuna document linaonesha namba za malipo kwa kila bank. Hivi hili halitumiki au vp.?
  3. Petabyte186

    Wenye Division III wamepata chuo?

    Mm pia nimepata UDOM (telecom Engineer) nikapata na MUST (Computer Engineer)
  4. Petabyte186

    Mbeya University (MUST)

    Habar wana JF Kwa wale waliopata nafasi za masomo mwaka huu mbeya university tukutane hapa na kuelekezana mambo muhimu
  5. Petabyte186

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Kwa wale wanaosubiri mbeya university of science and Technology (must) Bac majibu Tayari kwa ngazi za degree Www.mustnet.ac.tz
  6. Petabyte186

    Msaada zilipo ofisi za RITA (Registration, Insolvency and Trusteenship Agency)

    Habar wana JF. Mimi ni mzaliwa wa Lindi ila nimekulia Zanzibar sana. Sasa nataka kwenda RITA ila sipajui iko mtaa gani Dar es Salam naombeni msaada. Na pia nataka kupajua bodi ya mikopo ya elimu ya juu pia inapatikana mtaa gani hapo Dar es salam. Sitaki majungu naombeni msaada tafadhali
  7. Petabyte186

    Jifunze hapa kuhusu ALBADIR

    Kazi ya Serikali iwacheni serikal ifanye kazi yake.
  8. Petabyte186

    Jifunze hapa kuhusu ALBADIR

    Yaaan sijui niseme nn . Mbona Waislam wa Burma wanaonewa hamuwaombei dua. Nyinyi mnaosoma Albadir Mungu anakuoneni. Kuna waislam kibao wanauliwa ovyo wanakufa kwa njaa mbona hamukai mkaanza kuwaombea dua. Acheni Unafiki na Dini yenu. Neno langu la mwisho Sadaka Huwanza nyumbani. Sio kwa jirani
  9. Petabyte186

    Jifunze hapa kuhusu ALBADIR

    Niya njema
  10. Petabyte186

    Atakaeweza kuendeleza....

    Nimegunduwa kuwa maisha ya utotoni yana raha ya peke yake . Au sio wana JF
  11. Petabyte186

    Askari Mstaafu aliyekuwa ananyonga watu Gereza la Isanga-Dodoma

    Refu mkuu kama hamjasoma ufupisho. mm sijaimaliza Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Petabyte186

    Gesi asilia ni vipi itanufaisha watanzania?

    Habari wana JF, Tanzania ni nchi ambayo tumebahatika kuwa na rasilimali nyingi sana. Tumshukuru Mungu kwa hili. Miongoni mwa rasilimali tulizonazo ni gesi asilia. Wakuu nataka kujua vipi hii gesi inanufaisha Watanzania. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Petabyte186

    Taja Jina zuri Kwa mtoto

    Kurnulmanazil/Yalamlam/Zulkhulaifa/Kassim/Ahmad/Jaffar/Abdul wahid Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom