Recent content by pet96

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    Aliyesema wakulima wote wanazalisha hayo mazao ni nani?
  2. P

    JamiiForums Tanzania Hapa Tanzania hakuna familia yenye tamaa ya mali na uroho wa madaraka kama ya Kikwete.

    Wataziacha wala usiumize kichwa
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki.

    Free lissu
  4. P

    JamiiForums Tanzania Hivi shule za Dar Es Salaam zinaruhusu Wanafunzi kwenda na simu Shuleni?

    Zama za AI. Waacheni watoto watumie simu
  5. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Shukrani sana.
  6. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Connection ziko kila mahali, lakini psrs wamejitahidi kuleta usawa kwa kiasi kikubwa.
  7. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kabisa! Kwa muda niliokuwa nafuatilia huu uzi, nimeshuhudia watu wengi sana wakilamba asali na bado wengi tu watakuja kulamba asali.
  8. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Shukrani sana.
  9. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hakika! kila mtu atapata ni swala la muda.
  10. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Shukrani sana! Hakuna kukata tamaa 💯
  11. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hapana. Nilifanya usaili mwezi uliopita
  12. P

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Habarini wasaka asali ! Hatimae siku ya leo nimelamba asali kupitia Psrs hakika Mungu ni mkuu 🙏🙏🙏
Back
Top Bottom